Je, umeshasema?
Je, umeshasikia?

Hii ni mifano ya vitu vitakavyowakera watu wa makabila madogo madogo. Uchokozi huu ni matamko au tabia ambazo kwa namna moja au nyingine, bila kujua, zinawabagua watu kutoka katika makundi yaliyotengwa.

Maswali hayo au kauli hizo huonesha kuwa mlengwa si mmoja wa kundi kubwa la jamii. Ni vyema watu watambue kuwa hii inaumiza. Hizi kauli zinaweza kuonekana za kawaida lakini zinaumiza na kuendeleza kasumba ya ubaguzi wa rangi.

Huu uchokozi ni aina kuu kati ya tabia za kibaguzi katika jamii zetu na inatambulika kama tabia za kibaguzi za kila siku.

Vichwa vya habari hapo chini, vinaonesha matukio ya karibuni ya kibaguzi. Mazizi ya binadamu yamesambaza picha za kibaguzi katika kumbukumbu ya pamoja. Hizo picha bado zipo katika jamii hadi sasa.

< World Kiswahili Day