7 juli 2022 - Internationale dag van het Kiswahili.

Jumba la Makumbusho la Afrika laadhimisha Siku ya Kiswahili duniani!
""

Ukikaa ukitulia mengi utayasikia
Wie rustig zit, zal veel te weten komen.

 

Het Africa Museum viert de eerste internationale dag van het Kiswahili!

Op 23 November 2021 duidde de UNESCO 7 juli officieel aan als de internationale dag van het Kiswahili, de eerste Afrikaanse taal die deze eer te beurt valt en hopelijk niet de laatste. In samenwerking met de ambassade van Tanzania viert het museum deze belangrijke primeur.

Het Kiswahili is een Bantu taal die ontstond langs de Oostafrikaanse kust. Onder impuls van de Indische Oceaan handel verspreidde de taal zich van Mogadishu in Somalië tot Vilanculos in Mozambique. Er vormden zich verschillende dialecten en het Kiunguja van Zanzibar verspreidde zich ook landinwaarts en werd de basis voor het Kiswahili Sanifu of Standaard Swahili. Kiswahili is uitgegroeid tot de meest gesproken taal van Oost-Afrika. Het wordt geproken door 80 miljoen mensen vooral in Tanzania en Kenia waar de taal de status van nationale en officiële taal geniet maar ook in Oost-Congo (DRC), de Comoren, Rwanda, Uganda en andere Oostafrikaanse landen. Deze grote verspreiding geeft constant aanleiding tot nieuwe variaties binnen het Kiswahili dat gesproken wordt in meertalige contexten en voor sprekers verschillende betekenissen kan hebben.

Op 07 juli 2022 viert het museum op initiatief van de Tanzaniaanse ambassade de eerste Internationale dag van het Kiswahili. Standing guides vertellen je hoe het Kiswahili aanwezig is in onze permanente tentoonstelling. Wilde je al lang meer Kiswahili leren dan ‘hakuna matata’, dan kan je die dag bovendien terecht bij ervaren Kiswahili docenten. Wetenschappers leggen je meer uit over de geschiedenis van het Kiswahili en kinderen duiken in de wondere wereld van Kiswahili methali of spreekwoorden of leren hoe je een kanga het beste draagt en wat je er allemaal mee kan vertellen. Kom, en je zal (nog) meer opsteken! Njoo, utayasikia mengi! (en je hoeft niet stil te blijven zitten).
 

Jumba la Makumbusho la Afrika laadhimisha Siku ya Kiswahili duniani!

Mnamo tarehe 23 Novemba 2021, UNESCO iliiteua na kuitangaza rasmi tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa ni Siku ya Lugha ya Kiswahili Duniani; Lugha ya kwanza ya Kiafrika kusheherekewa. Hakika huu ni mlango kwa Lugha nyingine pia za Kiafrika kupata heshima hiyo. Kwa ushirikiano na Ubalozi wa Tanzania, Ubeligiji na Luxembourg pamoja na Jumuia ya Watanzania waishio Ubeligiji na Luxembourg, Makumbusho itashiriki kusheherekea kwa mara ya kwanza siku hii muhimu.

Kiswahili ni lugha ya Kibantu yenye asili ya mwambao wa Afrika Mashariki. Kadri biashara ndani ya Bahari ya Hindi ilivyokuwa inasambaa, ndivyo pia lugha hii ilisambaa kuanzia Mogadishu Somalia hadi Vilanculos Msumbiji. Lahaja mbalimbali zilijitokeza na Kiunguja kutoka Zanzibar kikasambaa mpaka bara na kikawa ni msingi wa Kiswahili Sanifu. Kiswahili hadi sasa, kimekuwa ni lugha inayozungumzwa sana Afrika Mashariki ikiwa na zaidi ya Wazungumzaji Milioni 100! Kinazungumzwa Tanzania na Kenya ambapo lugha hii inatumika kama lugha rasmi ya taifa na ya mawasiliano. Pia, kinazungumzwa Comoro, Kongo Mashariki, Rwanda, Burundi, Uganda na nchi nyinginezo za Afrika Mashariki. Kutokana na lugha hii kuzungumzwa maeneo mengi, kumeifanya iwe na mabadiliko ya mara kwa mara kwa kuzingatia muktadha wa eneo husika ambapo pia lugha nyinginezo huzungumzwa. Kutokana na hali hiyo, Kiswahili kinaweza kuwa na maana tofauti kati ya muktadha mmoja na mwingine.

Tarehe 7 Julai, kwa mpango na juhudi za Ubalozi wa Tanzania, Makumbusho inasheherekea kwa mara ya kwanza Siku ya Kiswahili duniani. Kutakuwa na mwongozaji mahususi ambaye atakuwa anaelezea kwa kina, uwepo na umuhimu wa Kiswahili katika maonesho yetu ya kudumu.
Je, umetamani kwa muda mrefu kujifunza Kiswahili zaidi ya msemo “Hakuna Matata “,? Basi, una fursa ya kujifunza kozi ya Kiswahili kutoka kwa walimu mahiri na wenye uzoefu mkubwa. Wanasayansi watakuambia zaidi kuhusu asili na namna Kiswahili kilivyosambaa na watoto watazama katika dunia ya Maajabu ya Methali za Kiswahili au kujifunza kuvaa kanga na, namna ya kufikisha ujumbe kimya kimya kwa kuzivaa. Njoo, mengi (zaidi) utayasikia (na hautakiwi kutulia tu)!
 

> Bekijk de teksten van de zalen in het Kiswahili.

 

 

AfricaMuseum
Leuvensesteenweg 13
3080 Tervuren


Activiteiten:

  • Kiswahili workshop: taal, kanga & spreekwoorden
  • Standing guides & tongbrekers
  • Fashion show
Doelgroep
Alle leeftijden
Taal
Workshops: meertalig (EN/FR/NL met uitleg in Kiswahili) of tweetaling (EN/KIS)
Prijs

Gratis maar inschrijven aan het onthaal is verplicht.

Info